Wednesday, March 15, 2017

WANANCHI WATOA MAONI KUELEKEA UCHIMBAJI VISIMA VYA JOTOARDHI MRADI WA NGOZI



Mhandisi Leonard Masanja (aliyesimama kushoto) akijibu hoja za wananchi wa Kata ya Ndanto wakati wa mjadala wa athari na faida za mradi wa jotoardhi wa Ngozi kwa jamii na mazingira, aliyeshika kipaza sauti ni Afisa Maendelea ya Jamii wa Wilaya ya Rungwe Bi. Rachel Mbelwa

No comments:

Post a Comment