Tuesday, August 2, 2016

Mhe. Prof Sospeter Mhongo akisoma hotuba katika uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane 2016.

Mhe. Prof. Sospeter Mhongo Akisoma hotuba katika viwanja vya ngongo mkoani Lindi katika Maonesho ya Nanenane siku ya Tar. 01/08/2016.
Meneja wa banda Ndg. Meshiri Kivuyo akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Nishati na Madini juu ya hatua mbalimbali zilizofikiwa katika uendelezaji wa nishati ya Jotoardhi.

No comments:

Post a Comment